Picha Na 1Mkurugenzi Mtendaji wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu Gold Mine Bw. Peter Burger ( wa kwanza kushoto) akizungumza na jopo la majajaji na sekretarieti iliyotembelea mgodi huo kwa ajili ya kumtafuta mshindi wa Tuzo ya Rais ya Huduma za Jamii na Uwezeshaji
Picha Na 2Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Ibanza Bw. Dions Kagiye (katikati) akizungumza na baadhi ya majaji waliotembelea shule hiyo inayofadhiliwa na mgodi wa Bulyanhulu Gold Mine kwa ajili ya kuifanyia tathmini
Picha Na 3 
Mmoja wa majaji Dkt. Yohana Mtoni (kushoto) akimsaidia mmoja wa watoto waliofika katika kisima cha maji cha Ilogi kuvuta maji. Kisima hicho kinafadhiliwa na mgodi wa Bulyanhulu
Picha Na 4 
Meneja Mahusiano wa Mgodi wa Buzwagi uliopo Kahama, Shinyanga Bi. Dorothy Bikurakule ( wa kwanza kulia mbele) akiongoza jopo la majaji na sekretarieti kutembelea kituo cha afya cha Mwendakulima kinachofadhiliwa na mgodi huo.
Picha Na 6 
Meneja Mahusiano wa Mgodi wa Buzwagi uliopo Kahama, Shinyanga Bi. Dorothy Bikurakule (katikati) akielezea mchango wa mgodi huo katika uwezeshaji wa kikundi cha vijana cha ufyatuaji wa matofali cha Mwendakulima
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: