Na Hellen Kwavava wa Kajunason Blog, Dar es Salaam.

Kutokana na kuwa na uelewa mdogo wakusoma sayansi nchini Taasisi ya utafiti wa sayansi nchini wameanda ama onyesho yatafiti mbalimbali za kisayansi na kiteknolojia zizilizofanywa na wanafunzi wa shule za sekondari hapa nchini yenye lengo la kukuza uelewa kuhusiana na kusoma masomo ya sayansi.

Akizungumza na waandishi wa habari nchini Mkurugenzi wa Young scientists Tanzania Dkt Kamugisha Gozibert (Pichani) amesema kwamba wanafunzi hao wapatao 300 wataonyesha tafiti zao walizofanya kwa takribani miezi saba hadi nane.

Dkt Gozibert ameeleza kwamba maonyesho hayo yameambatana na zawadi mbalimbali ikiwemo na udhamini wa kusoma masomo ya elimu ya juukwa wale ambaotafitizitaonekanakuwakivutiakizuri.
Maonyesho hayo yanatarajia kufanyika Agosti 13 na 14 hapa jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Diamond Jubilee.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: