Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Azam Media, Rhys Torrington akizungumza na baadhi ya Waandishi wa habari waliopata fursa ya kufanya ziara ya kutembelea Ofisi za Kampuni hiyo juu ya uanzishwaji wa Televisheni yao ya Azam TV yenye muonekano wa kisasa zaidi na yenye lengo la kukuza michezo mbali mbali hapa nchini,zilizopo eneo la Tazara jijini Dar es Salaam leo.
 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Azam Media,Rhys Torrington akionyesha King'amuzi cha Azam TV kwa baadhi ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) waliopata fursa ya kufanya ziara ya kutembelea Ofisi za Kampuni hiyo,zilizopo eneo la Tazara jijini Dar es Salaam.
 Meneja wa Huduma kwa Wateja wa Kampuni ya Azam Media, Loth Mziray (kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya Waandishi wa habari waliopata fursa ya kufanya ziara ya kutembelea Ofisi za Kampuni hiyo, zilizopo eneo la Tazara jijini Dar es Salaam.

Zaidi na zaidi endelea kusoma Kajunason Blog.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: