Wahandisi wa shirika la ndege la ATCL, Karwani na Mwakipesile wakimalizia matengenezo kwa kubadilisha kioo kilichopata ufa. Baada ya ukarabati huo, safari za Kigoma zinatarajiwa kuendelea kuanzia Jumatano hii. Ndege ya ATCL kutoka Kigoma kuelekea Dar wiki iliyopita ilipasuka kioo cha mbele wakati ikiwa angani, na kujikuta ikitua kwa dharura .
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: