Naibu Katibu Mkuu Wizara Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mheshimiwa Anna Maembe akizungumza katika tamasha la Simama Awareness, lililofanyika viwanja vya Posta Kijitonyama, Dar. Tamasha hilo lililoandaliwa na asasi isiyo ya kiserikali iitwayo Tanzania Alliance Peoples Organisation likiwa na lengo kupinga ubakaji kwa Watoto... ujumbe usemao, SIMAMA KATAA UBAKAJI WA WATOTO.
Mwakilishi wa Ustawi wa Jamii Kinondoni, Fransisca Makoye akitoa somo kwa watoto waliohudhuria tamasha hilo.
Mtoto wa shule ya msingi Hekima ya jiji Dar es Salaam akieleza machache kwa watoto wenzake, pembeni yake ni Mwakilishi wa Ustawi wa Jamii Kinondoni, Fransisca Makoye na mshereheshaji Zainab.
Watoto wakifuatilia tamasha.
Wanahabari toka kituo cha television ya TBC1, wakifanya mahojiano na watoto.
Meza kuu wakifuatilia.
Inspector Prisca Komba wa Kituo cha Polisi Osterbay  mwakilishi kutoka polisi
Walimu wa Shule ya msingi Hekima wakifuatilia kwa makini.
Nyimbo toka shule ya msingi Hekima.
Picha ya Walimu, Wanafunzi, Waandaaji pamoja na mgeni rasmi.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: