Mgeni Rasmi katika Onyesho la Khanga za Kale, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jisnia na Watoto Mheshimiwa Sophia Simba akisoma hotuba yake fupi wakati wa kufungua rasmi Onyesho la Mavazi ya Khanga za Kale 2012 linaloratibiwa na Mamaa wa Mitindo Asia Idarous Khamsin (kushoto) chini ya Kampuni yake ya Fabak Fashion. Onyesho hilo lilifanyika katika Hoteli ya Serena, Jijini Dar es Salaam.
Muandaaji wa Onyesho la Mavazi ya Khanga za Kale 2012, Mamaa wa Mitindo Asia Idarous Khamsin akizungumza machache kabla ya kuanza Rasmi kwa Onyesho katika Hoteli ya Serena, Jijini Dar es Salaam.
Kiki fashions nao hawakukosa.
 Mwanamitindo Martine Kadinda nae hakuwa nyuma kuonyesha vazi lake alilobuni.
Wanahabari nao hawakuwa nyuma kupata matukio.
Meza kuu wakishangilia.
 Wageni wakifuatilia.
 Vimwana wa Unique Modoz nao walikuwepo.
Wageni waalikwa wakiteta.  
Mbunifu wa mavazi Gabliel Mollel akipita jukwaani na vazi alilobuni.
Mbunifu wa Mavazi Gymkhana Hilali anayemiliki Paka Wear akipita na vazi lake.
Mama wa Mitindo House Khadija Mwanamboka nae hakukosa.
 Mshiriki wa shindano la EBBS 2012, Salma akitoa burudani.
Moja ya picha iliyofanyiwa mnada.
 Muandaaji wa Onyesho la Mavazi ya Khanga za Kale 2012, Mamaa wa Mitindo Asia Idarous Khamsin akiwa na mumewe mzee Khamsin wakiwapungua wageni waliohudhuria. Mavazi hayo yanayofuata katika picha za chini yamebuniwa yeye.
 Mmiliki wa Blog hii, Cathbert Angelo Kajuna nae alipata nafasi ya kupanda jukwani akiwa amevaa vazi la shati ya khanga aliyobuniwa na mama Asia Idarous Khamsin.
 Pozi kidogo...
 Mmilikiwa wa Blog ya Missie Popular, Bi. Mariam Ndaba nae alipita na vazi lilibuniwa na mama wa Mitindo Asia Idarours Khamsin.
  Mmilikiwa wa Blog ya Mtaa kwa Mtaa, Othman Michuzi nae hakuwa nyuma kuvaa vazi lilibuniwa na mama wa Mitindo Asia Idarours Khamsin.
 
 Matukio Chuma nae hakuwa nyuma.
Sarah mke wa Raqey Mohammed mmiliki wa I-View Media nae alipata nafasi.
 Taji Liundi hakukosa.
 Baby Madaha...
 Magesa mwendeshaji wa shindano la Unique Modo nae alikuwepo.
 Wageni wakishangilia.
Modoz wakipita kwa steji, wakiongozwa na Mtangazaji wa Star Tv, Sauda Mwilima (kwanza Kulia), Mmiliki wa Mtaa kwa Mtaa Blog, Othman Michuzi (kati) na Mmiliki wa Kajunason Blog, Cathbert Angelo (kwanza kushoto).
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: