Pichani ni mwanamuziki wa kimataifa wa ragga na mshindi wa tuzo za Grammy 2011, Orville Richard ‘Shaggy’ alivyojiachia ndani ya Visiwa vya Zanzibar wakati alipokuwa akielekea wa ajili ya tamasha la filamu za nchi za majahazi maalufu kama (Zanzibar International Film Festival-ZIFF) lililofanyika ndani ya Ngome kongwe na kufurika mamia wa mashabiki kumshuhudia mjamaika huyo anayeishi marekani.

Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: