KCI & Jojo wakizungumza na waandishi wa habari leo asubuhi kwenye ofisi za TIGO kuhusu onesho lao litakalofanyika leo usiku, ambapo wanamuziki hao wameahidi kuwarusha wapenzi wao vilivyo huku wakisindikizwa na wanamuziki wa hapa bongo akiwemo Nakaya na K-Lyn, kushoto kabisa ni Meneja masoko wa TIGO Kelvin Twisa.
KCI & Jojo wakizungumza na waandishi wa habari leo asubuhi kwenye ofisi za TIGO kuhusu onesho lao litakalofanyika leo usiku, ambapo wanamuziki hao wameahidi kuwarusha wapenzi wao vilivyo huku wakisindikizwa na wanamuziki wa hapa bongo akiwemo Nakaya na K-Lyn, kushoto kabisa ni Meneja masoko wa TIGO Kelvin Twisa.

Toa Maoni Yako:
0 comments: