Pages

Wednesday, 11 March 2026

Pumzika kwa Amani Ssebo

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Radio EFM na TVE Ndugu Deniss Ssebo, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Ssebo amefariki baada ya kuugua ghafla. Taarifa zaidi zitawajia baadae.

Mwenyezi Mungu Ailaze , Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi . AMEN

No comments:

Post a Comment