Pages

Tuesday, 17 March 2020

WALAZIMIKA KUHAMA MAKAZI YAO KUKWEPA ADHA YA MAFURIKO

Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo tofauti nchini zimeendelea kuleta madhara,ambapo Wilayani Kilombero Wakazi wa Kijiji Cha Nyange Kichangini kitongiji Cha Msolwa Stesheni wameladhimika kuyahama makazi yao kutokana na mafuriko



No comments:

Post a Comment