Pages

Monday, 20 January 2014

SAFARI YA MWISHO YA MZEE ARNOLD WILFRED NKHOMA KATIKA MAKABURI YA KINONDONI, DAR


DSC_0231
Wajukuu wa marehemu wakiwa wamebeba Jeneza la Babu yao kuliingiza ndani tayari kwa heshima za mwisho kabla ya kuelekea Kanisani kwa Ibada.
DSC_0330
Familia ya karibu ya marehemu.
DSC_0290
Kushoto ni mabinti wawili wa Marehemu wakiwa na ndugu zao wakaribu kwenye majonzi mazito.
DSC_0275
Vitukuu wa marehemu mzee Arnold Nkhoma.
DSC_0285

DSC_0295
Waombolezaji wakitoa heshima za mwisho.
DSC_0360
Mtoto wa Marehemu Prof. Alice Wamunza Nkhoma akitoa heshima za mwisho kwa baba yake mpendwa Mzee Arnold Nkhoma.
DSC_0363
Mtoto wa marehemu Bi. Agnes Nkhoma Darch akitoa heshima kwa baba yake.
DSC_0366
Mjukuu mkubwa wa marehemu Bi. Usia Nkhoma Ledama akitoa heshima za mwisho kwa babu yake.
DSC_0379
Mama Usia na mjukuu wake Vanessa Roy Ledama wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu.

No comments:

Post a Comment