Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Umi Ali Mwalimu aliliambia Bunge mjini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Naomi Kaihula aliyetaka kujua Serikali itazisaidiaje familia zinazotunzwa na mzazi mmoja ili kuondokana na tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
No comments:
Post a Comment