Pages

Wednesday, 11 June 2008

MAMBO YA MAKUMIRA UNIVERSITY

Hapa ni wikendi iliyopita nikipata chakula cha jioni na mwimbaji wa nyimbo Frola Mbasha na mumewe Emanuel Mbasha pamoja na viongozi wa Umoja wa wanafunzi wa kikristo kwa vyuo vikuu ambayo ndiyo walikuwa wenyeji wetu katika chuo kikuu cha Makumira kilichoko USA, River jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment