Pages
(Move to ...)
Home
Mtaa Kwa Mtaa
Michuzi Blog
Jiachie Blog
MK Computer Tweaks
▼
Showing posts with label
HABARI ZA KIJAMII
.
Show all posts
Showing posts with label
HABARI ZA KIJAMII
.
Show all posts
Wednesday, 1 April 2026
Wafanyakazi wa Tume ya Mipango watakiwa kuwa Wabunifu na Weledi
›
Katibu Mkuu-Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango Dkt Tausi M. Kida ametoa wito kwa watendaji wa Tume hiyo kufanya kazi kwa...
WCF na NIT Watia Saini Mkataba wa Kuimarisha Usalama Barabarani
›
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dkt. John Mduma, amesema kuwa ushirikiano kati ya WCF na Chuo cha Taifa cha Usafiri...
Tuesday, 31 March 2026
PDPC Yakanusha Usajili wa Lazima kwa Wamiliki Wote wa CCTV
›
Dar es Salaam, Machi 30, 2026 — Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imetoa ufafanuzi rasmi kwa umma kuhusu matumizi ya kamera za usalam...
CP Mkama Aanza Rasmi Uongozi Polisi Jamii Dodoma
›
Na Mwandishi Wetu. Dodoma, Machi 30, 2026 — Kamishna wa Kamisheni ya Polisi Jamii, Alex Sospeter Mkama, amekabidhiwa rasmi ofisi ya kuongoza...
Sunday, 29 March 2026
Rais Ruto aomboleza Kifo cha Mbunge wa Ol Kalou
›
Na Mwandishi Wetu Rais wa Kenya, William Ruto, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mbunge wa Jimbo la Ol Kalou, David Njuguna Kia...
TPSC Yagusa Mioyo Singida, Yakabidhi Msaada kwa Watoto Wenye Mahitaji Maalum
›
Na Mwandishi Wetu, Singida Kampasi ya Singida ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) imekabidhi msaada kwa watoto wenye mahitaji maalu...
Saturday, 28 March 2026
Alliance One Yapongezwa Kuongoza Mapambano ya Urejeshaji Misitu Nzega
›
Na Mwandishi Wetu, Nzega. Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imeipongeza Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One kwa kuwa kinara wa juh...
William Ruto Ampongeza David Keter kwa Ushindi wa Mchujo UDA Emurua Dikirr
›
Na Mwandishi Wetu -Narok, Kenya. Rais wa Kenya, William Ruto, amempongeza mwanasiasa David Keter maarufu kama Dollarline kwa kushinda katika...
Viongozi Waungana Kuaga Mwili wa William Lukuvi, Wasaini Kitabu cha Maombolezo
›
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo katika ibada ya ku...
Wakazi Aenda Mahakamani Kupinga Hukumu ya Kesi ya Baba Levo
›
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. Msanii wa muziki wa hip hop nchini, Wakazi (Webiro Wasira), ameanza rasmi mchakato wa kisheria kupinga huk...
›
Home
View web version