Nshoma Hostel ni Hostel mpya Kabisa na ya kisasa iliyofunguliwa hivi karibuni huko Gongo la Mboto,Jijini Dar es Salaam katika barabara ya Kuelekea Moshi Bar.ni Hostel yenye uwezo mkubwa wa kuchukua wanafunzi wengi kwa wakati mmoja.Hostel hii ipo karibu kabisa na Chuo Kikuu cha Kiataifa cha Kampala kilichopo Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam.

Kwa wale wahitaji wa Hostel
Mawasiliano ni haya hapa chini
+255 717 140 095 au +255 769 074 201 
Pia wanaweza kuwasiliana na Mkurugenzi Mkuu wa Hostel hiyo kwa namba hizi
+255 754 595 901 au +255 784 495 901

Nyote mnakaribishwa.

 Sehemu ya Upande wa Hostel hiyo.
 Sehemu ya Mapokezi.
 Muonekano wa Baadhi ya Vyumba vya Hostel hiyo. 
 Sehemu nzuri ya Kujisomea.
 Jiko la Kisasa.
 Mandhali
 Maji ni yakutosha kabisa.
 Sehemu nzuri ya kuaniki nguo.
Eneo kubwa kabisa la Kuegesha Magari.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: