Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philipo Mulugo ( kushoto) akitoa taarifa kwa umma kuhusu matokeo ya Kamati ya Uchunguzi wa malalamiko kuhusu matokeo ya mitihani ya kidato cha Sita wa somo la Islamic Knowledge mwaka 2012 jana (leo) jijini Dar es salaam ambapo makosa yalitokana na kasoro za kiutendaji na kiufundi na si vinginevyo. Kulia ni Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Shule Marystella Wassena.
 
Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO- Dar es salaam.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: