
Buju Banton amehukumiwa nchini Marekani, na alitiwa hatiani kutokana na ushahidi wa video baada ya kuonekana aki-test cocaine kama ni yenyewe huko pande za Florida.
Awali Banton aliiambia mahakama kwamba hakuwahi kufanya biashara hiyo haramu hata siku moja zaidi ya kuiimba tu kwa majigambo katika sanaa yake ya muziki. Waendesha mashtaka walifuta kesi yao hapo awali baada ya kushindwa kuonesha ushahidi endapo mtuhumiwa wake aliwahi kushiriki moja kwa moja katika biashara hiyo haramu.
Toa Maoni Yako:
0 comments: