KWA UPANDE WA UK DE PLAIZIR ANACHUWANA NA HAWA HAPO KUWANIA TUZO YA UK BEST NEW TALENT ● Mimitah● Deplaizir● May 7ven● Shady Blue

● Nameless

● Ali Kiba

● Radio & Weasle

● Juliana Kayamonzi vijana wa kizazi kipya cha muziki hapa africa

DE PLAIZIR na ALY KIBA bado wanahitaji suport yenu katika kuwapigia kura hatiame waweze kuchukua tuzo ya AFRICA MUSIC AWARDS 2009 zitakazo fanyikia huko London mapema mwakahuu mpaka sasa DE PLAIZIR na ALY KIBA wanaonekana kuongoza katika kura za mashabiki lakini chochote cha weza kutoakea kumbuka vijana hao ndio wanaoleta mabadiliko katika muzikiwetu so jamani kwa pamoja tuwapigie kura vijana wetu.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: