Waombolezaji mbalimbali wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Mohamed Mpakanjia kutoka nyumbani kwake Sinza Mori ili kuuweka kwenye gari tayari kwa safari ya kwenda makaburi ya Kisutu kwa mazishi yaliyofanyika leo saa nane mchana huu, Marehemu Mohamed Mpakanjia alifariki jana saa 9.20 mchana katika Hospitali ya Jeshi Lugalo ambako inadaiwa alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa mapafu mpaka mauti yanamkuta Mungu ailaze mahari pema peponi roho ya Marehemu Amin.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: