Kampuni ya SimbaNET (T) Linited ya jijini Dar es Salaam Jumamosi hii iliandaa bonanza la michezo lililowakutanisha pamoja wafanyakazi wa kampuni hiyo na familia zao. Siku hiyo ilikuwa ni ya kula kunywa na kuchezo michezo ya aina mbalimbali ikiwepo soka, kuvutana kamba, kuogelea, muziki na michezo mbalimbali ya watoto. Kampuni ya Seree ndio walikuwa waandaaji 

wa tafrija hiyo iliyofanyika kwa mafanikio makubwa katika ufukwe wa 
Hoteli ya Bahai Beach.
 
 wafanyakazi na familia zao wakichukua kifuangua kinywa mara baada ya kuwasili bahari Beach Hotel.
Wafanyakazi wakipata kifungua kinywa.
 
 Watoto wakifurahia na kushiriki michezo mbalimbali ya kuogelea.
 
Mgeni rasmi katika siku hiyo ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu wa SimbaNET (T) Limited, Rakesh Kukreja akisalimia wachezaji wa timu zote akifuatana na kamisaa wa michezo hiyo Patrick Nyembela.
 
 
 Mchezo wa kuvuta kamba ulifanyika kwa makundi mbalimbali kutokana na fulana walizovaa. na Team ya weupe ndio waliibuka washindi. Picha zaidi Bofya FATHER KIDEVU BLOG
Wasanii wa bendi ya msondo ngoma wakutumbuiza katika uwanja wa sigara chan'gombe kutoka kushoto ni Said Mabela, Othumani Kambi na Mustafa Pishuu.
Wachalaza magita wa bendi ya msondo ngoma wakiwajibika wakati wa onesho lao kudhoto ni Said Mabela na Mustafa Pishuu.
Waimbaji wa bendi ya msondo wakitumbuiza wakati wa muendeleo wa wiki ya kutimiza miaka 50 ya bendi hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Sigara Chan'gombe Dar es salaam kutoka kushoto ni  Othumani Kambi, Shabani Dede na Juma Katundu Picha na www.burudan.blogspot.com
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana nabaadhi ya viongozi wa dini ya Kikristu, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo, Oktoba 19, 2014, kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kuwekwa Wakhfu Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, iliyofanyika jijini humo leo mchana.
 Maaskofu wakimwekea mikono ya Baraka Askofu mwenzao, Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, wakati akiwekwa Wakhfu katika sherehe zilizofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwahutubia waumini wa dini ya Kikristu, waliohudhuria katika Sherehe za kuwekwa Wakhfu Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, zilizofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, leo.

 Wanakwaya wakitoa burudani wakati wa sherehe hizo..
 Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimpongeza Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, baada ya kuwekwa Wakhfu katika sherehe zilizofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa dini ya Kikristu na wanafamilia
ya Askofu
  Mteule wa Kanisa la Africa Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, baada ya sherehe za kuwekwa wakhfu zilizofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiagana na
  Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, wakati akiondoka Askofu huyo kuwekwa Wakhfu katika sherehe zilizofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na  baadhi ya viongozi wa dini ya Kikristu wakati akiondoka kwenye uwanja wa CCM Kirumba, baada ya kuhudhuria sherehe za kuwekwa Wakhfu Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, leo.
D92A4133
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo DRC wakiwa katika sherehe ya kuhitimu mafunzo ya maafisa wanafunzi kundi la 54/13 kutoka Tanzania na DRC. DRC katika chuo cha Mafunzo ya kijeshi kilichopo Monduli Mkoani Arusha leo. D92A3866
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Joseph Kabila wa DRC na  Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis wamunyange wakijadili jambo wakati wa hafla ya kuhitimu mafunzo na kutunuku kamisheni kwa maafisa wa kundi la 54/13 DRC yaliyofanyika chuo cha kijeshi Monduli Mkoani Arusha
jana. (picha na Freddy Maro) 
D92A4025
Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo(DRC) akimpa zawadi ofisa kadeti Yusup kutoka DRC baada ya kuibuka mwanafunzi bora katika kundi la 54/13 wakati wa hafla ya kumaliza mafunzo iliyofanyika huko
Monduli jana. D92A4033
Rais Joseph Kabila wa DRC akimpa zawadi Ofisa Kadeti Ibrahim Mwamtemi baada ya kuibuka mwanafunzi bora katika mafunzo ya porini wakati wa hafla ya kutunuku kmaisheni baada kumaliza mafunzo ya kundi la 54/13 DRC yaliyofanyika Chuo cha kijeshi monduli jana. D92A4050
Amiri Jeshi Mkuu, Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitunuku kamisheni kwa maofisa wa Jeshi wanafunzi kundi la 54/13 DRC katika chuo cha Mafunzo ya kijeshi kilichopo Monduli Mkoani Arusha jana. D92A4097
Maafisawapya wa jeshi la Wananchi wa Tanzania wakila kiapo cha utii kwa Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa hafla ya kutunuku kamisheni kwa maafisa wapya wa jeshi la wananchi wa Tanzania iliyofanyika katika chuo cha mafunzo ya kijeshi kilichopo Monduli Mkoani Arusha jana.
Tanzanian songbird Lady Jay Dee sings the National Anthem at the opening of  Gala Awards ceremony held at the Mlimani  City Conference Centre, in Dar es Salaam on Saturday October 18, 2014.
 President Jakaya Kikwete,  Dr. Mary Michael Nagu. Minister of State for Investment and Empowerment (to the President's right), Dar es salaam Regional Commissioner  Hon Said Meck Sadick,  Nico Meyer, CEO MultiChoice Africa, Deborah Rayner (second right), SVP International Newsgathering TV and Digital, CNN International (right), stand at attention as the national anthem is sung.
 Part of the invited guests
 Invited guests
President Kikwete delivers his speech
  Deborah Rayner  SVP International Newsgathering TV and Digital, CNN International speaks
 Nico Meyer, CEO MultiChoice Africa speaks. 
 CNN International's Isha Sesay co-host of  the show.
 Part of the invited guests
 Capital Television's Frank Morandi co-host of the show.
 More invited guests
 Winner of the Cultural Award  Obinna Emelike, Business Day, Nigeria acknowledges the honour after Greg Beitchman, VP, Content Sales and  Partnerships, CNN International, made the presentation.
 The attentive guests follow up the proceedings.
 Winner of the Environment Award Patrick Mayoyo, Daily Nation, Kenya is happy after being presented with the trophy by  Richard Uku, Group Head Corporate Communications, Ecobank Transnational Inc.
 Winner of the FRANCOPHONE GENERAL NEWS AWARD: ELECTRONIC
MEDIA
 Daniel Biaou Adje, ORTB Benin receives the trophy from  Amadou Mahtar Ba, Co-Founder and Executive Chairman AllAfrica Global Media
 Winner of the FRANCOPHONE GENERAL NEWS AWARD: PRINT
MEDIA,
 Safia Berkouk, El Watan, Algeria, as  Amadou Mahtar Ba, Co-Founder and Executive Chairman AllAfrica Global Media looks on after presenting the trophy
 CNN cameraman in action
 Sean Christie, Freelance for Landbouweekblad and The Mail & Guardian, South Africa,  Winner  of the COCA-COLA ECONOMICS & BUSINESS
AWARD, presented by 
Erastus Mtui, Country Public Affairs & Communications Manager, The Coca-Cola Company (left)  
  Olatunji Olalade, The Nation Newspaper, Nigeria, winner of the MSD HEALTH & MEDICAL AWARD, presented by Kaja Natland, Managing Director, MSD South Africa (left)
 A standing ovation as the  PRESS FREEDOM AWARD is presented to the wife and son of jailed Bheki Makhubu, of Swaziland
 Wife and son of  jailed Swaziland journalist Bheki Makhubu after receiving the PRESS FREEDOM AWARD, from Ferial Haffajee, Chairperson of the 2014 Judging Panel (left)
 Joseph Mathenge, Freelance for the Saturday Nation, Kenya, receives the  MOHAMED AMIN PHOTOGRAPHIC AWARD, presented by Salim Amin, Chairperson, A24
Media
 Images of terror taken by Joseph Mathenge during the
Westgate attack in Nairobi, Kenya, are shown to the
audience
 Joseph Mathenge, Freelance for the Saturday Nation, Kenya, speaks after accepting the   MOHAMED AMIN PHOTOGRAPHIC AWARD, presented by Salim Amin, Chairperson, A24 Media (left)
 Joseph Mathenge, Freelance for the Saturday Nation, Kenya,
summons on stage his son Geoff Kihato to  share the glory of
 the  
MOHAMED AMIN
PHOTOGRAPHIC AWARD, presented by 
Salim Amin, Chairperson, A24
Media
 Joseph Mathenge, Freelance for the Saturday Nation, Kenya, is
humbled as his son Geoff  Kihato receives the  
MOHAMED AMIN PHOTOGRAPHIC AWARD trophy
from 
Salim Amin, Chairperson, A24
Media
 Winners Joy Summers &
Susan Comrie, Mnet Carte Blanche, South Africa, receive
the 
GE ENERGY & INFRASTRUCTURE
AWARD, from  
Thomas Konditi, Chief
Financial Officer
, GE
Africa
 The audience is glued as the cameramen are
busy


 Joyce Mhaville, Managing Director, ITV,
announces the winner of the 
NEWS IMPACT
AWARD
 Rashid Ibrahim, Citizen TV, Kenya, co- winner of the NEWS IMPACT AWARD drops to the floor in all his fours
for a little player after the announcement the he and Anne Mawathe
have won
 Rashid Ibrahim, Citizen TV, Kenya, speaks after receiving
 the 
NEWS IMPACT AWARD, from
 
Joyce Mhaville, Managing Director,
ITV
 Evelyn Watta, sportsnewsarena.com, Kenya, receives
the 
SPORT REPORTING AWARD, from
 Msindisi Fengu the CNN MultiChoice African Journalists
2013
 Time for the announcement of the overall winner and President Kikwete opens the envelope as CEO MultiChoice Africa, Deborah Rayner, SVP International Newsgathering TV and Digital, CNN International look on.
 President Kikwete announces the winner as  CEO MultiChoice Africa, Deborah Rayner, SVP International Newsgathering TV and Digital, CNN International look on
 President Jakaya Mrisho Kikwete presents to
Kenyan journalist Joseph Mathenge  the top prize at this year’s
CNN MultiChoice African Journalist 2014 Awards Ceremony held on
Satuday night at the Mlimani City Conference hall in Dar es salaam. He
has been honoured for  capturing the captivating images of
 
the Westgate Mall shoppers in Nairobi,
Kenya, when the mall was attacked by unidentified gunmen in September
2013.
 President Jakaya Mrisho Kikwete shakes hands with
 Mathege's son, Geoff Kihato, also a photographer,  who
helped his father capture the captivating images of  
the Westgate Mall shoppers in Nairobi, Kenya, when the
mall was attacked by unidentified gunmen in September
2013.
 The audience

 President Jakaya Mrisho Kikwete presents to Kenyan journalist Joseph Mathenge  the top prize at this year’s CNN MultiChoice African Journalist 2014 Awards Ceremony held on Satuday night at the Mlimani City Conference hall in Dar es salaam. Looking on is Mathege's son, Geoff Kihato, also a photographer,  who helped his father capture the captivating images of
 
the Westgate Mall shoppers in Nairobi, Kenya, when the mall was attacked by unidentified gunmen in September 2013.
  Nico Meyer, CEO MultiChoice Africa congratulates Mathenge as President Kikwete, Mathege's son Geoff Kihato and Deborah Rayner, SVP International Newsgathering TV and Digital, CNN International,  (partially hidden) look
on.

 President Kikwete, Nico Meyer, CEO MultiChoice Africa, Deborah Rayner, SVP International Newsgathering TV and Digital, CNN International, pose for  a group photo with Mathenge and son Geoff during the ceremony.

 The panel of judges being introduced.
 Confetti rain of the panel of judges. 
 Confetti swallow the panel of judges.
 President Kikwete shakes hands with the panel of judges.
 President Kikwete shakes hands with CNN International's Isha Sesay co-host of  the show.
"Excellent...." President Kikwete seems to be telling Capital Television's Frank Morandi co-host of the show.
  Mathenge and son Geoff  show off their
trophies at during the ceremony.
 Lady Jay Dee with her Machozi band
entertain
  Mathenge and son Geoff  happ with Salim Mohamed Amin during the ceremony.
  Mathenge and son Geoff  have another photo with the dignitaries during the ceremony.
 President Kikwete greets veteran photographer Adarsh
Nayar and other guests as he takes his leave
 President Kikwete greets Wife and son of  jailed Swaziland journalist Bheki Makhubu who received on his behalf the PRESS FREEDOM AWARD. STATE HOUSE PHOTOS