Watu 6 wamefariki Dunia na wengine ambao idadi yao haijajulikana wamejeruhiwa vibaya baada ya Basi la Mohamed Trans lililokuwa linatoka Mwanza kwenda Dar es Salaam kupinduka katika eneo la Makomero mpakani mwa Singida na Tabora majira ya mchana.

Habari kamili zitawajia zaidi tutawajuza...
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: