Safari ya mwisho ya mpendwa wetu George Njabili.
 Marehemu George Godwin Njabili enzi za uhai wake.
 Mjane wa marehemu (wa tatu), akiwa na watoto na ndugu na jamaa wakati wa ibada hiyo.
 Geneza lenye mwili wake likiingizwa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), kwa ajili ya ibada hiyo.
 Wachungaji wa Kanisa hilo wakiongoza ibada hiyo.
 Ndugu jamaa na marafiki wa marehemu wakiwa kwenye 
ibada hiyo.
 Hakika ni huzuni kubwa kwa kuondokea na mpendwa wetu George.
 Ni huzuni kwa ujumla.
 Mjane wa George Njabili (katikati), pamoja na watoto wao.
 Ni ibada iliyowagusa wengi waliomfahamu George Njabili.
Wanakwaya wakiimba kwenye ibada hiyo. 
 Ndugu, jamaa na marafiki wakiwa kwenye ibada hiyo.
Ni nyuso za huzuni ndani ya ibada hiyo.
Ndugu na jamaa wakitoa heshima za mwisho.

Mjane wa George akisali na watoto wake mbele ya jeneza la mume wake wakati wakiaga mwili wake.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: