Watu wanne wamefariki dunia papo hapo leo Saa kumi usiku alfajili Julai 31, 2014 baada ya Kuangukiwa na Lori la mizigo, Lililopindukia katika mto njia panda ya kuelekea Ilembula, Njombe. Picha zote www.njombe-yetu.blogspot.com
Lori hilo la mizigo likiwa limedondoka Chini ya Mto njia panda ya Ilembula huku watu wanne wakiwa wamefunikwa.
Baadhi ya mizigo ikiwa imedondoka katika mto
Hivi ndivyo Lori linavyo onekana likiwa limedondoka chini ya mto eneo la njiapanda Ilembula
Kazi ya uokoaji ikiwa imeanza
Lori la mizigo likiwa limedondoka
Baadhi ya mizigo ikiwa imedondoka katika mto
Hivi ndivyo Lori linavyo onekana likiwa limedondoka chini ya mto eneo la njiapanda Ilembula
Kazi ya uokoaji ikiwa imeanza
Lori la mizigo likiwa limedondoka
Toa Maoni Yako:
0 comments: