Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi Mhe Dk Amani Abeid Karume, akisalimiana na Alhaj khamis Dadi Mbulu,Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mtwara, Kiongozi wa Wenyeviti wa CCM Mikoa mbali mbali ya Tanzania Bara, na Makatibu,walioalikwa katika sherehe za Miaka 45 ya Mapinduzi, (wa pili kulia) Azim S Premji, Mkoa wa Kigoma, na Onesmo Nangohe,Mkoa wa Arusha, Wenyeviti hao walifika kusalimiana na Rais Ikulu Mjini Zanzibar.Picha na Ramadhan Othman Ikulu


Toa Maoni Yako:
0 comments: