Wimbo huu unazungumzia watu wasio na kazi wanaoshinda kuchukia wenzao wahangaikaji, yeyote ambaye anadhani huo ni wimbo wake ameibiwa ama aliuandika yeye na anahisi kudhulumiwa, nachukua fursa hii kumuomba ajitokeze kutoa madai yake mapema kabla nanga haijang'oka.
Asanteni kwa kunisikiliza na kwakunisoma.
Mwana F.A. a.k.a Binamu
Zaidi tembelea www.djchoka.blogspot.com


Toa Maoni Yako:
0 comments: